From the file: International Day for the Elimination of Violence Against Women

English: “Violence against women and girls is a global pandemic that brings great shame to all societies around the world.” — António Guterres, United Nations Secretary-General, in his message for the International Day for the Elimination of Violence Against Women, 25 November.
Reference: United Nations (2020). Secretary-General’s Message on the International Day for the Elimination of Violence against Women. Retrieved from https://www.un.org/en/observances/ending-violence-against-women-day

Swahili:“Ukatili dhidi ya wanawake na wasichana ni ugonjwa wa kimataifa unaoleta fedheha kubwa katika jamii zote duniani”-Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres katika ujumbe wake maalumu kuhusu siku ya kimataifa ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake ambayo huadhimishwa kila mwaka Novemba 25.

Add a Comment

Your email address will not be published.